Danieli 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo akaja kando ya mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Naye akaniambia: “Elewa,+ Ee mwana wa binadamu,+ kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+ Danieli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaniambia tena: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno hayo yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+
17 Kwa hiyo akaja kando ya mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Naye akaniambia: “Elewa,+ Ee mwana wa binadamu,+ kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+
9 Naye akaniambia tena: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno hayo yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+