Danieli 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo akakaribia mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa sana hivi kwamba nikaanguka chini kifudifudi. Akaniambia: “Elewa, Ee mwana wa binadamu, kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:17 dp 165 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:17 Unabii wa Danieli, uku. 165 Mnara wa Mlinzi,7/1/1987, uku. 13
17 Kwa hiyo akakaribia mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa sana hivi kwamba nikaanguka chini kifudifudi. Akaniambia: “Elewa, Ee mwana wa binadamu, kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+