Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nimekuja kukuelewesha mambo yatakayowapata watu wako katika kipindi cha mwisho cha zile siku,+ kwa maana ni maono yanayohusu siku zijazo.”+

  • Danieli 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Lakini wewe, Danieli, yaweke siri maneno haya, na ukifunge kwa muhuri kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho.+ Wengi watazunguka huku na huku,* na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi.”+

  • Danieli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Akajibu: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno haya yanapaswa kuwekwa yakiwa siri na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki