Danieli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimekuja kukuelewesha mambo yatakayowapata watu wako katika kipindi cha mwisho cha zile siku,+ kwa maana ni maono yanayohusu siku zijazo.”+ Danieli 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Lakini wewe, Danieli, yaweke siri maneno haya, na ukifunge kwa muhuri kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho.+ Wengi watazunguka huku na huku,* na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi.”+ Danieli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Akajibu: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno haya yanapaswa kuwekwa yakiwa siri na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+
14 Nimekuja kukuelewesha mambo yatakayowapata watu wako katika kipindi cha mwisho cha zile siku,+ kwa maana ni maono yanayohusu siku zijazo.”+
4 “Lakini wewe, Danieli, yaweke siri maneno haya, na ukifunge kwa muhuri kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho.+ Wengi watazunguka huku na huku,* na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi.”+
9 Akajibu: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno haya yanapaswa kuwekwa yakiwa siri na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+