17 Kwa hiyo akakaribia mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa sana hivi kwamba nikaanguka chini kifudifudi. Akaniambia: “Elewa, Ee mwana wa binadamu, kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+
26 “Mambo yaliyosemwa katika maono kuhusu jioni na asubuhi hizo ni ya kweli, lakini ni lazima uyaweke siri maono hayo, kwa sababu yanahusu kipindi cha siku nyingi kutoka sasa.”*+