Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akakaribia mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa sana hivi kwamba nikaanguka chini kifudifudi. Akaniambia: “Elewa, Ee mwana wa binadamu, kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+

  • Danieli 8:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Mambo yaliyosemwa katika maono kuhusu jioni na asubuhi hizo ni ya kweli, lakini ni lazima uyaweke siri maono hayo, kwa sababu yanahusu kipindi cha siku nyingi kutoka sasa.”*+

  • Danieli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Akajibu: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno haya yanapaswa kuwekwa yakiwa siri na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki