Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 97:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nuru imemwangazia mwadilifu,+

      Na shangwe kwa ajili ya walio wanyoofu moyoni.+

  • Isaya 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hawatasababisha madhara+ yoyote wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu;+ kwa maana dunia hakika itajawa na kumjua Yehova kama vile maji yanavyoifunika bahari.+

  • Isaya 58:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 nawe ukimpa mwenye njaa tamaa yako ya nafsi,+ ukiishibisha nafsi ambayo inateseka, nuru yako pia hakika itamulika hata gizani, na giza lako litakuwa kama katikati ya mchana.+

  • Ufunuo 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na roho+ na bibi-arusi+ huendelea kusema: “Njoo!” Na yeyote anayesikia na aseme: “Njoo!”+ Na yeyote anayeona kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki