9 Hawatasababisha madhara+ yoyote wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu;+ kwa maana dunia hakika itajawa na kumjua Yehova kama vile maji yanavyoifunika bahari.+
10 nawe ukimpa mwenye njaa tamaa yako ya nafsi,+ ukiishibisha nafsi ambayo inateseka, nuru yako pia hakika itamulika hata gizani, na giza lako litakuwa kama katikati ya mchana.+
17 Na roho+ na bibi-arusi+ huendelea kusema: “Njoo!” Na yeyote anayesikia na aseme: “Njoo!”+ Na yeyote anayeona kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+