Zaburi 37:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atauleta uadilifu wako kama nuru,+Na haki yako kama katikati ya mchana.+ Isaya 58:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kama ingekuwa hivyo nuru yako ingetokea kama mapambazuko;+ na kupona kungetokea haraka kwa ajili yako.+ Na uadilifu wako hakika ungetembea mbele yako;+ utukufu wa Yehova ungekuwa ulinzi wako wa nyuma.+
8 “Kama ingekuwa hivyo nuru yako ingetokea kama mapambazuko;+ na kupona kungetokea haraka kwa ajili yako.+ Na uadilifu wako hakika ungetembea mbele yako;+ utukufu wa Yehova ungekuwa ulinzi wako wa nyuma.+