1 Mambo ya Nyakati 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Utukufu na fahari ziko mbele zake,+Nguvu na shangwe zipo mahali pake.+ Ufunuo 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na yule aliyeketi, kuonekana kwake+ ni kama jiwe la yaspi+ na jiwe jekundu la thamani, na upinde wa mvua+ ambao kuonekana kwake ni kama zumaridi+ unakizunguka kile kiti cha ufalme.
3 Na yule aliyeketi, kuonekana kwake+ ni kama jiwe la yaspi+ na jiwe jekundu la thamani, na upinde wa mvua+ ambao kuonekana kwake ni kama zumaridi+ unakizunguka kile kiti cha ufalme.