1 Mambo ya Nyakati 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Utukufu na fahari ziko mbele zake,+Nguvu na shangwe zipo mahali pake.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+ Zaburi 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+
11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+
8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+