1 Mambo ya Nyakati 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Utukufu na fahari ziko mbele zake,+Nguvu na shangwe zipo mahali pake.+ Zaburi 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+
8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+