Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Lakini, je, kweli Mungu atakaa duniani?+ Tazama! Mbingu,+ ndiyo, mbingu za mbingu,+ haziwezi kukutosha;+ jinsi gani basi, nyumba hii+ ambayo nimeijenga!

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Utukufu na fahari ziko mbele zake,+

      Nguvu na shangwe zipo mahali pake.+

  • Ayubu 37:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Fahari ya dhahabu huja kutoka kaskazini.

      Utukufu+ ulio juu ya Mungu ni wenye kuogopesha.

  • Zaburi 104:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 104 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu.+

      Ee Yehova Mungu wangu, umekuwa mkuu sana.+

      Umevaa utukufu na fahari,+

  • Zaburi 148:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na walisifu jina la Yehova,+

      Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+

      Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+

  • Isaya 33:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini huko Mwenye Utukufu,+ Yehova, atakuwa kwetu mahali pa mito,+ pa mifereji mipana. Kundi lolote la merikebu halitapita juu yake, wala hakuna meli yenye utukufu itakayopita juu yake.

  • Waebrania 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yeye ndiye mng’ao wa utukufu+ wake na mwakilisho sawasawa wa utu wake wenyewe,+ naye hutegemeza vitu vyote kwa neno la nguvu zake;+ na akiisha kuzitakasa dhambi+ zetu aliketi kwenye mkono wa kuume+ wa Ukuu katika mahali pa juu sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki