6 Na ni nani angeweza kuwa na nguvu za kumjengea nyumba?+ Kwa maana mbingu na mbingu za mbingu hazimtoshi,+ na mimi ni nani+ kwamba nimjengee nyumba isipokuwa tu iwe ya kufukizia moshi wa uvumba mbele zake?+
6 “Wewe peke yako ndiye Yehova;+ wewe mwenyewe umezifanya mbingu,+ hata mbingu za mbingu, na jeshi lao lote,+ dunia+ na vyote vilivyo juu yake,+ bahari+ na vyote vilivyomo;+ nawe unavihifadhi vyote hai; na jeshi+ la mbinguni linakuinamia wewe.
2 Namjua mtu mmoja katika muungano na Kristo ambaye, miaka kumi na minne iliyopita—kama ni katika mwili sijui, au ni nje ya mwili sijui; Mungu anajua—alinyakuliwa+ akiwa hivyo mpaka kwenye mbingu ya tatu.