Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama, mbingu, naam, mbingu za mbingu,+ dunia+ na vyote vilivyomo, ni mali ya Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na ni nani angeweza kuwa na nguvu za kumjengea nyumba?+ Kwa maana mbingu na mbingu za mbingu hazimtoshi,+ na mimi ni nani+ kwamba nimjengee nyumba isipokuwa tu iwe ya kufukizia moshi wa uvumba mbele zake?+

  • Nehemia 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Wewe peke yako ndiye Yehova;+ wewe mwenyewe umezifanya mbingu,+ hata mbingu za mbingu, na jeshi lao lote,+ dunia+ na vyote vilivyo juu yake,+ bahari+ na vyote vilivyomo;+ nawe unavihifadhi vyote hai; na jeshi+ la mbinguni linakuinamia wewe.

  • 2 Wakorintho 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Namjua mtu mmoja katika muungano na Kristo ambaye, miaka kumi na minne iliyopita—kama ni katika mwili sijui, au ni nje ya mwili sijui; Mungu anajua—alinyakuliwa+ akiwa hivyo mpaka kwenye mbingu ya tatu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki