18 Kwa hiyo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Yehova na kusema: “Mimi ni nani,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova? Na nyumba yangu ni nini hata ukanileta kufikia hapa?
14 “Ingawa hivyo, mimi ni nani,+ na watu wangu ni nani, hata tuwe na nguvu za kutoa matoleo ya hiari hivi?+ Kwa maana kila kitu hutoka kwako,+ nasi tumekupa kutoka katika mkono wako mwenyewe.