Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 mimi sistahili fadhili zote zenye upendo na uaminifu wote ambao umemwonyesha mtumishi wako,+ kwa maana nilivuka huu mto Yordani nikiwa na fimbo yangu tu na sasa nimekuwa kambi mbili.+

  • 1 Samweli 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ni Mwenye Kuinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;+

      Humwinua maskini kutoka katika shimo la majivu,+

      Ili awafanye wakae pamoja na watu wenye vyeo; naye huwapa urithi+ wa kiti cha ufalme cha utukufu.+

      Kwa maana nguzo za dunia+ ni za Yehova,

      Naye huiweka nchi yenye kuzaa juu ya hizo.

  • 1 Samweli 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo Daudi akamwambia Sauli: “Mimi ni nani na watu wa ukoo wangu ni nani, familia ya baba yangu, katika Israeli, hata niwe mwana-mkwe wa mfalme?”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Yehova+ na kusema: “Mimi ni nani,+ Ee Yehova Mungu, na nyumba yangu+ ni nini hata ukanileta kufikia hapa?+

  • Mika 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki