18 Kwa hiyo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Yehova na kusema: “Mimi ni nani,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova? Na nyumba yangu ni nini hata ukanileta kufikia hapa?
6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo yeye hutoa ni kubwa zaidi.+ Kwa hiyo, hilo linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+