Mwanzo 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nami nitakutunza katika njia yote unayoenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii,+ kwa sababu sitakuacha mpaka niwe kwa kweli nimefanya hayo ambayo nimekuambia.”+ Zaburi 100:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,+Na uaminifu wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+ Mika 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utatoa ukweli aliopewa Yakobo, fadhili zenye upendo alizopewa Abrahamu, ambazo uliwaapia mababu zetu tangu siku za zamani za kale.+
15 Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nami nitakutunza katika njia yote unayoenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii,+ kwa sababu sitakuacha mpaka niwe kwa kweli nimefanya hayo ambayo nimekuambia.”+
5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,+Na uaminifu wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+
20 Utatoa ukweli aliopewa Yakobo, fadhili zenye upendo alizopewa Abrahamu, ambazo uliwaapia mababu zetu tangu siku za zamani za kale.+