2 Samweli 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Yehova na kusema: “Mimi ni nani,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova? Na nyumba yangu ni nini hata ukanileta kufikia hapa?
18 Kwa hiyo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Yehova na kusema: “Mimi ni nani,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova? Na nyumba yangu ni nini hata ukanileta kufikia hapa?