Zaburi 115:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 115 Sisi hatuna chochote, Ee Yehova, sisi hatuna chochote,+Bali jina lako ulitukuze+Kulingana na fadhili zako zenye upendo, kulingana na ukweli wako.+ Wafilipi 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa maana Mungu ndiye ambaye, kwa ajili ya mapenzi yake mema, anatenda ndani yenu+ ili ninyi muwe na nia na kutenda pia.+
115 Sisi hatuna chochote, Ee Yehova, sisi hatuna chochote,+Bali jina lako ulitukuze+Kulingana na fadhili zako zenye upendo, kulingana na ukweli wako.+
13 kwa maana Mungu ndiye ambaye, kwa ajili ya mapenzi yake mema, anatenda ndani yenu+ ili ninyi muwe na nia na kutenda pia.+