Ayubu 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+ 1 Timotheo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana hatukuleta chochote katika ulimwengu, wala hatuwezi kuchukua chochote nje.+
21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+