Ayubu 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+ Zaburi 49:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana anapokufa hawezi kuchukua kitu chochote;+Utukufu wake hautashuka chini pamoja naye.+
21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+