Ayubu 31:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Je, Yeye aliyenifanya mimi tumboni hakumfanya yeye,+Na je, si yeye Mmoja tu aliyetufanya sisi katika tumbo la uzazi? Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+ Mhubiri 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Alivyotoka mtu katika tumbo la mama yake, ndivyo atakavyoenda tena akiwa uchi,+ kama alivyokuja; wala hakuna chochote ambacho mtu anaweza kwenda nacho+ kwa ajili ya kazi yake ngumu, anachoweza kukichukua mkononi mwake. 1 Timotheo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana hatukuleta chochote katika ulimwengu, wala hatuwezi kuchukua chochote nje.+
15 Je, Yeye aliyenifanya mimi tumboni hakumfanya yeye,+Na je, si yeye Mmoja tu aliyetufanya sisi katika tumbo la uzazi?
15 Alivyotoka mtu katika tumbo la mama yake, ndivyo atakavyoenda tena akiwa uchi,+ kama alivyokuja; wala hakuna chochote ambacho mtu anaweza kwenda nacho+ kwa ajili ya kazi yake ngumu, anachoweza kukichukua mkononi mwake.