Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 31:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Je, Yeye aliyenifanya mimi tumboni hakumfanya yeye,+

      Na je, si yeye Mmoja tu aliyetufanya sisi katika tumbo la uzazi?

  • Zaburi 127:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+

      Uzao wa tumbo ni thawabu.+

  • Mhubiri 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Alivyotoka mtu katika tumbo la mama yake, ndivyo atakavyoenda tena akiwa uchi,+ kama alivyokuja; wala hakuna chochote ambacho mtu anaweza kwenda nacho+ kwa ajili ya kazi yake ngumu, anachoweza kukichukua mkononi mwake.

  • 1 Timotheo 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana hatukuleta chochote katika ulimwengu, wala hatuwezi kuchukua chochote nje.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki