2 Mambo ya Nyakati 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mkono wa Mungu wa kweli ukawa katika Yuda pia ili kuwapa moyo mmoja+ ili watende amri+ ya mfalme na wakuu kuhusu lile jambo la Yehova.+ 1 Wathesalonike 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.
12 Mkono wa Mungu wa kweli ukawa katika Yuda pia ili kuwapa moyo mmoja+ ili watende amri+ ya mfalme na wakuu kuhusu lile jambo la Yehova.+
8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.