Kumbukumbu la Torati 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! nimewafundisha masharti+ na maamuzi ya hukumu,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wangu ameniamuru mimi, ili ninyi mfanye hivyo katikati ya nchi ambayo mnaenda kuimiliki. Mhubiri 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nasema: “Shika agizo la mfalme,+ na ufanye hivyo kwa kujali kiapo cha Mungu.+ 1 Wathesalonike 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana mnajua maagizo+ tuliyowapa ninyi kupitia Bwana Yesu.
5 Tazama! nimewafundisha masharti+ na maamuzi ya hukumu,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wangu ameniamuru mimi, ili ninyi mfanye hivyo katikati ya nchi ambayo mnaenda kuimiliki.