Yeremia 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, iwe kwa mema yao na kwa mema ya wana wao baada yao.+ 1 Wakorintho 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa nawahimiza+ ninyi, akina ndugu, kupitia jina+ la Bwana wetu Yesu Kristo kwamba nyote mseme kwa upatano,+ na kwamba kusiwe na migawanyiko+ katikati yenu, bali kwamba muunganishwe vema katika akili ileile na katika njia ileile ya kufikiri.+
39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, iwe kwa mema yao na kwa mema ya wana wao baada yao.+
10 Sasa nawahimiza+ ninyi, akina ndugu, kupitia jina+ la Bwana wetu Yesu Kristo kwamba nyote mseme kwa upatano,+ na kwamba kusiwe na migawanyiko+ katikati yenu, bali kwamba muunganishwe vema katika akili ileile na katika njia ileile ya kufikiri.+