33 “Kwa maana hili ndilo agano+ nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,”+ asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
5 Si kwamba sisi wenyewe tuna sifa za kustahili vya kutosha kuhesabu kuwa jambo lolote linatoka kwetu wenyewe,+ bali kuwa kwetu na sifa za kustahili vya kutosha hutoka kwa Mungu,+
21 na awape ninyi vifaa vyema vya kila namna ili kufanya mapenzi yake, akifanya katika sisi kupitia Yesu Kristo lile ambalo linapendeza vema machoni pake;+ ambaye kwake kuwe na utukufu milele na milele.+ Amina.