19 Na sasa, Ee Yehova Mungu wetu,+ tafadhali, utuokoe+ kutoka mkononi mwake, ili falme zote za dunia zijue kwamba wewe, Ee Yehova, ndiye Mungu peke yako.”+
16 “Ee Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi, wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu na dunia.+