26 Jina lako mwenyewe na liwe kuu mpaka wakati usio na kipimo,+ kusema, ‘Yehova wa majeshi ni Mungu juu ya Israeli,’+ na acha nyumba ya mtumishi wako Daudi ifanywe imara mbele zako.+
23 naye akaendelea kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ hakuna Mungu kama wewe+ juu mbinguni wala chini duniani, anayeshika agano na fadhili zenye upendo+ kwa watumishi wako+ wanaotembea mbele zako kwa moyo wao wote,+
13 Yehova wa majeshi—yeye Ndiye mnayepaswa kuona kuwa mtakatifu,+ naye ndiye anayepaswa kuwa kitu cha kuogopwa nanyi,+ na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+