2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+
5 “Nalo agano langu lilikuwa naye, ambalo ni la uzima na la amani,+ nami nikaendelea kumpa hayo, pamoja na woga. Naye akaendelea kuniogopa;+ ndiyo, kwa sababu ya jina langu yeye mwenyewe aliingiwa na hofu.+
12 Kwa hiyo, wapendwa wangu, kwa jinsi ambavyo mmekuwa mkitii sikuzote,+ si wakati wa kuwapo kwangu tu, bali kwa utayari zaidi sasa wakati wa kutokuwapo kwangu, endeleeni kuufanyia kazi wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa+ na kutetemeka;