Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtumikieni Yehova kwa woga+

      Na mshangilie kwa kutetemeka.+

  • Zaburi 76:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+

      Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+

  • Isaya 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+

  • Malaki 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nalo agano langu lilikuwa naye, ambalo ni la uzima na la amani,+ nami nikaendelea kumpa hayo, pamoja na woga. Naye akaendelea kuniogopa;+ ndiyo, kwa sababu ya jina langu yeye mwenyewe aliingiwa na hofu.+

  • Wafilipi 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo, wapendwa wangu, kwa jinsi ambavyo mmekuwa mkitii sikuzote,+ si wakati wa kuwapo kwangu tu, bali kwa utayari zaidi sasa wakati wa kutokuwapo kwangu, endeleeni kuufanyia kazi wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa+ na kutetemeka;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki