2 Wakorintho 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Pia, upendo wake mwororo ni mwingi zaidi kuwaelekea ninyi, anapokumbuka utii+ wenu nyote, jinsi mlivyompokea kwa kuogopa na kutetemeka. Waebrania 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea ufalme ambao hauwezi kutikiswa,+ acheni tuendelee kuwa na fadhili zisizostahiliwa, ambazo kupitia hizo tunaweza kumtolea Mungu kwa njia inayokubalika utumishi mtakatifu kwa woga wa kimungu na heshima.+
15 Pia, upendo wake mwororo ni mwingi zaidi kuwaelekea ninyi, anapokumbuka utii+ wenu nyote, jinsi mlivyompokea kwa kuogopa na kutetemeka.
28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea ufalme ambao hauwezi kutikiswa,+ acheni tuendelee kuwa na fadhili zisizostahiliwa, ambazo kupitia hizo tunaweza kumtolea Mungu kwa njia inayokubalika utumishi mtakatifu kwa woga wa kimungu na heshima.+