Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kwa sababu moyo+ wako ulikuwa mwororo hivi kwamba ukajinyenyekeza+ kwa sababu ya Yehova uliposikia yale ambayo nimesema juu ya mahali hapa na wakaaji wake ili pawe kitu cha kushangaza na laana,+ nawe ukayararua+ mavazi yako, ukaanza kulia mbele zangu, mimi, naam, mimi nimesikia,” asema Yehova.+

  • Zaburi 34:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova yuko karibu na wale waliovunjika moyo;+

      Naye huwaokoa wale waliopondwa roho.+

  • Mathayo 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu.

  • Luka 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ninawaambia ninyi, Mtu huyu alishuka kwenda nyumbani kwake akiwa amethibitishwa kuwa mwadilifu+ zaidi kuliko yule mwingine; kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, bali yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki