27 kwa sababu moyo+ wako ulikuwa mwororo hivi kwamba ukajinyenyekeza+ kwa sababu ya Mungu uliposikia maneno yake kuhusu mahali hapa na wakaaji wake, nawe ukajinyenyekeza mbele zangu,+ ukayararua+ mavazi yako na kulia mbele zangu, mimi, naam, mimi nimesikia,+ asema Yehova.