Kumbukumbu la Torati 28:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 “Na laana zote hizo+ hakika zitakujia na kukufuata na kukufikia mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri zake na kanuni zake alizokuamuru.+ Zaburi 109:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye aliendelea kuipenda laana,+ hivi kwamba ikamjia;+Wala hakupendezwa na baraka,+ Hivi kwamba ikawa mbali naye;+ Yeremia 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 mimi, kwa upande wangu, nitaifanya nyumba hii kama ile iliyo katika Shilo,+ na jiji hili nitalifanya kuwa laana kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+
45 “Na laana zote hizo+ hakika zitakujia na kukufuata na kukufikia mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri zake na kanuni zake alizokuamuru.+
17 Naye aliendelea kuipenda laana,+ hivi kwamba ikamjia;+Wala hakupendezwa na baraka,+ Hivi kwamba ikawa mbali naye;+
6 mimi, kwa upande wangu, nitaifanya nyumba hii kama ile iliyo katika Shilo,+ na jiji hili nitalifanya kuwa laana kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+