Kumbukumbu la Torati 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+ Kumbukumbu la Torati 29:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya nchi hiyo kwa kuleta juu yake laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki.+ Yeremia 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 mimi, kwa upande wangu, nitaifanya nyumba hii kama ile iliyo katika Shilo,+ na jiji hili nitalifanya kuwa laana kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+
15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+
27 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya nchi hiyo kwa kuleta juu yake laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki.+
6 mimi, kwa upande wangu, nitaifanya nyumba hii kama ile iliyo katika Shilo,+ na jiji hili nitalifanya kuwa laana kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+