Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Dhabihu kwa Mungu ni roho iliyovunjika;+

      Moyo uliovunjika na kupondwa, Ee Mungu, hutaudharau.+

  • Isaya 57:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Yeye Aliye Juu na Aliyeinuka Sana,+ anayeishi milele+ na ambaye jina lake ni takatifu,+ amesema hivi: “Mimi ninakaa kileleni na katika mahali patakatifu,+ pia pamoja na mtu aliyepondwa na mwenye roho ya unyenyekevu,+ ili kuipa uhai roho ya watu wa hali ya chini na kuupa uhai moyo wa wale wanaopondwa.+

  • Isaya 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+

  • Luka 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Roho ya Yehova+ iko juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuwatangazia maskini habari njema, alinituma kuhubiri kuachiliwa huru kwa mateka na kupata kuona tena kwa vipofu, kuacha waliopondeka waende zao wakiwa wameachiliwa huru,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki