2 Mambo ya Nyakati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+ Zaburi 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana hakudharau+Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+Naye hakumficha uso wake,+Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+ Zaburi 119:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Nimeutuliza uso wako kwa moyo wangu wote.+Unionyeshe kibali kulingana na maneno yako.+ Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+ Luka 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini baba huyo akawaambia watumwa wake, ‘Upesi! leteni kanzu, iliyo bora zaidi, mkamvike,+ na mtie pete+ mkononi mwake na viatu miguuni mwake.
13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+
24 Kwa maana hakudharau+Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+Naye hakumficha uso wake,+Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+
22 Lakini baba huyo akawaambia watumwa wake, ‘Upesi! leteni kanzu, iliyo bora zaidi, mkamvike,+ na mtie pete+ mkononi mwake na viatu miguuni mwake.