Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+

  • Zaburi 22:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana hakudharau+

      Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+

      Naye hakumficha uso wake,+

      Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+

  • Zaburi 119:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  58 Nimeutuliza uso wako kwa moyo wangu wote.+

      Unionyeshe kibali kulingana na maneno yako.+

  • Methali 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+

  • Luka 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini baba huyo akawaambia watumwa wake, ‘Upesi! leteni kanzu, iliyo bora zaidi, mkamvike,+ na mtie pete+ mkononi mwake na viatu miguuni mwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki