Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake.

  • Zaburi 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+

      Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+

      Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela.

  • Zaburi 51:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+

      Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki