Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Unikomboe kutoka katika makosa yangu yote.+

      Usiniweke kama shutuma ya mtu asiye na akili.+

  • Zaburi 103:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama vile baba anavyowaonyesha wanawe rehema,+

      Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+

  • Methali 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+

  • Isaya 43:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Mimi—mimi ndiye Yeye anayefuta+ makosa+ yako kwa ajili yangu mwenyewe,+ na dhambi zako sitazikumbuka.+

  • Isaya 44:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitayafutilia mbali makosa yako kana kwamba ni kwa wingu,+ na dhambi zako kana kwamba ni kwa wingu kubwa. Rudi kwangu,+ kwa maana nitakukomboa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki