Zaburi 44:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unatuweka kuwa shutuma kwa jirani zetu,+Kuwa dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+ Yoeli 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+
13 Unatuweka kuwa shutuma kwa jirani zetu,+Kuwa dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+
17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+