2 Mambo ya Nyakati 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakati huo Sulemani akamtolea Yehova dhabihu+ za kuteketezwa juu ya ile madhabahu+ ya Yehova ambayo alikuwa amejenga mbele ya ukumbi,+ Mathayo 23:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ili ije juu yenu damu yote ya uadilifu iliyomwagwa juu ya dunia,+ tangu damu+ ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua katikati ya patakatifu na madhabahu.+
12 Ndipo wakati huo Sulemani akamtolea Yehova dhabihu+ za kuteketezwa juu ya ile madhabahu+ ya Yehova ambayo alikuwa amejenga mbele ya ukumbi,+
35 ili ije juu yenu damu yote ya uadilifu iliyomwagwa juu ya dunia,+ tangu damu+ ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua katikati ya patakatifu na madhabahu.+