- 
	                        
            
            Ezekieli 8:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        16 Kwa hiyo akanileta katika ua wa ndani wa nyumba ya Yehova,+ na, tazama! kwenye mwingilio wa hekalu la Yehova, katikati ya ukumbi na madhabahu,+ kulikuwa na wanaume 25+ hivi migongo yao ikielekea hekalu la Yehova+ na nyuso zao zikielekea mashariki, nao walikuwa wameelekea mashariki, wakiliinamia jua.+ 
 
-