11 Na Daudi akampa Sulemani mwana wake ramani ya ujenzi+ wa ukumbi+ na ya nyumba zake na ya maghala+ yake na madari+ yake na ya vyumba vyake vya ndani vyenye giza na nyumba ya kifuniko cha upatanisho;+
4 Na ukumbi+ uliokuwa mbele ya huo urefu ulikuwa mikono 20 mbele ya upana wa nyumba, na kimo chake kilikuwa 120; naye akafunika upande wa ndani kwa dhahabu safi.