Mambo ya Walawi 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho. 1 Wafalme 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akatayarisha ndani kile chumba cha ndani kabisa+ kilicho katikati ya ile nyumba, ili kuweka humo lile sanduku+ la agano+ la Yehova.
2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho.
19 Naye akatayarisha ndani kile chumba cha ndani kabisa+ kilicho katikati ya ile nyumba, ili kuweka humo lile sanduku+ la agano+ la Yehova.