7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+
9 Nilipoenda juu mlimani nikapokee yale mabamba ya mawe,+ mabamba ya agano ambalo Yehova alikuwa amefanya pamoja nanyi,+ nami nikaendelea kukaa mlimani siku 40, mchana na usiku,+ (sikula mkate wala kunywa maji,)
9 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba mawili+ ya mawe ambayo Musa aliweka+ humo kule Horebu, wakati Yehova alipokuwa amemaliza kufanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri.+