Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+

  • Kumbukumbu la Torati 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akawajulisha ninyi agano+ lake, alilowaamuru mtende—yale Maneno Kumi,+ kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nilipoenda juu mlimani nikapokee yale mabamba ya mawe,+ mabamba ya agano ambalo Yehova alikuwa amefanya pamoja nanyi,+ nami nikaendelea kukaa mlimani siku 40, mchana na usiku,+ (sikula mkate wala kunywa maji,)

  • 1 Wafalme 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba mawili+ ya mawe ambayo Musa aliweka+ humo kule Horebu, wakati Yehova alipokuwa amemaliza kufanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki