Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa Yehova akasema na Musa: “Njoo kwangu juu mlimani, ukae huko, kwa maana nataka kukupa mabamba ya mawe na sheria na amri ambayo nitaiandika ili kuwafundisha wao.”+

  • Kutoka 31:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+

  • Kutoka 32:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nayo mabamba hayo yalikuwa kazi ya Mungu, nayo maandishi yalikuwa maandishi ya Mungu yaliyochongwa juu ya mabamba hayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki