12 Sasa Yehova akasema na Musa: “Njoo kwangu juu mlimani, ukae huko, kwa maana nataka kukupa mabamba ya mawe na sheria na amri ambayo nitaiandika ili kuwafundisha wao.”+
18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+