Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+

  • Kutoka 34:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Jichongee mabamba mawili ya mawe kama yale ya kwanza,+ nami nitaandika juu ya mabamba hayo maneno yaliyokuwa kwenye yale mabamba ya kwanza,+ ambayo uliyavunja-vunja.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kisha Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu;+ na maneno yote ambayo Yehova alikuwa amesema nanyi katika mlima kutoka katikati ya moto katika siku ya kutaniko, yalikuwa juu yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nitaandika juu ya mabamba hayo yale maneno yaliyokuwa kwenye yale mabamba ya kwanza, ambayo uliyavunja, nawe utayaweka ndani ya sanduku hilo.’

  • 2 Wakorintho 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Zaidi ya hayo, ikiwa sheria ambazo hutoa kifo+ na ambazo zilichongwa kwa herufi katika mawe+ zilikuja kwa utukufu,+ hivi kwamba wana wa Israeli hawakuweza kuutazama uso wa Musa kwa sababu ya utukufu wa uso wake,+ utukufu ambao ungekuja kuondolewa mbali,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki