19 Basi makuhani wenye kufanya uchawi wakamwambia Farao: “Ni kidole+ cha Mungu!”+ Lakini moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.
3 Kwa maana ninyi mnaonyeshwa kuwa barua ya Kristo ambayo sisi tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho+ ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+