Luka 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini ikiwa mimi huwafukuza roho waovu kupitia kidole+ cha Mungu, ufalme wa Mungu kwa kweli umewafikia.+ 1 Yohana 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye ambaye huendelea kufanya dhambi hutokana na Ibilisi, kwa sababu Ibilisi amekuwa akifanya dhambi tangu mwanzo.+ Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa,+ yaani, ili azivunje kazi za Ibilisi.+
20 Lakini ikiwa mimi huwafukuza roho waovu kupitia kidole+ cha Mungu, ufalme wa Mungu kwa kweli umewafikia.+
8 Yeye ambaye huendelea kufanya dhambi hutokana na Ibilisi, kwa sababu Ibilisi amekuwa akifanya dhambi tangu mwanzo.+ Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa,+ yaani, ili azivunje kazi za Ibilisi.+