Kutoka 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi makuhani wenye kufanya uchawi wakamwambia Farao: “Ni kidole+ cha Mungu!”+ Lakini moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amesema. Mathayo 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini ikiwa mimi ninawatoa roho waovu kwa nguvu za roho ya Mungu, kwa kweli ufalme wa Mungu umewafikia ninyi ghafula.+
19 Basi makuhani wenye kufanya uchawi wakamwambia Farao: “Ni kidole+ cha Mungu!”+ Lakini moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.
28 Lakini ikiwa mimi ninawatoa roho waovu kwa nguvu za roho ya Mungu, kwa kweli ufalme wa Mungu umewafikia ninyi ghafula.+