Kutoka 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+ Mathayo 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini ikiwa mimi ninawatoa roho waovu kwa nguvu za roho ya Mungu, kwa kweli ufalme wa Mungu umewafikia ninyi ghafula.+ Luka 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini ikiwa mimi huwafukuza roho waovu kupitia kidole+ cha Mungu, ufalme wa Mungu kwa kweli umewafikia.+
18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+
28 Lakini ikiwa mimi ninawatoa roho waovu kwa nguvu za roho ya Mungu, kwa kweli ufalme wa Mungu umewafikia ninyi ghafula.+
20 Lakini ikiwa mimi huwafukuza roho waovu kupitia kidole+ cha Mungu, ufalme wa Mungu kwa kweli umewafikia.+