Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa Yehova akasema na Musa: “Njoo kwangu juu mlimani, ukae huko, kwa maana nataka kukupa mabamba ya mawe na sheria na amri ambayo nitaiandika ili kuwafundisha wao.”+

  • Kutoka 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Musa akageuka na kushuka kutoka mlimani+ akiwa na yale mabamba mawili ya Ushuhuda+ mkononi mwake, mabamba yaliyoandikwa pande zote mbili. Yaliandikwa upande huu na upande ule.

  • Kumbukumbu la Torati 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akawajulisha ninyi agano+ lake, alilowaamuru mtende—yale Maneno Kumi,+ kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kisha nikageuka na kushuka kutoka mlimani, huku mlima ukiwaka moto;+ na yale mabamba mawili ya agano yalikuwa katika mikono yangu miwili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki