19 Kwa hiyo, yeyote yule anayevunja+ moja ya amri hizi ndogo zaidi na kufundisha wanadamu hivyo, yeye ataitwa ‘mdogo zaidi’ kuhusiana na ufalme wa mbinguni.+ Kwa habari ya yeyote anayezifanya na kuzifundisha,+ huyo ataitwa ‘mkubwa’+ kuhusiana na ufalme wa mbinguni.